Qkweli! Kampuni ya Sheys Africa Group inayo husika na utengenezaji wa madawa big up sana kwao kwa mpango mzima wa afya zetu, Hivi ndivyo Dr Sanjay Advani, Director & CEO wa Shelys akipokea tuzo ya kampuni bora ya Madawa nchini tanzania toka kwa Mheshimiwa Rais Jakaya Mrisho Kikwete.